- Wakati wananchi wanawaza kupanda kwa bei za mafuta, watoto hawa hawana taabu na mawazo hayo, kwani wamerahisisha usafiri wao kwa kutumia Baiskeri ya Fito, kama walivyokutwa na mpiga picha wa blog hii, huko Kijiji cha Migoli katika Halmashauri ya Iringa.
No comments:
Post a Comment